Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bodaboda wahoji dhana ya wao kujiajiri

$
0
0
Waendesha bodaboda Jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, jana wamehoji ipo wapi dhana ya wao kujiajiri, huku mamlaka ya mkoa na jiji hilo zikiwazuia kuingia na abiria kwenye maeneo ya katikati ya jiji la Dar es Salaam. Akizungumza na East Africa Radio, Afisa Habari wa Jumuiya ya wendesha Bodaboda jijini Dar es Salaam Bw. Abdallah Bakari amemuomba rais Jakaya Kikwete kuingilia kati

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>