Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana anusurika kufa baada ya kupigwa akituhumiwa ni mwizi jambo ambalo...

Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina moja la sule amenusurika kifo baada ya kupigwa na watu wenye hasira kali wakimtuhumu kuwa ni mwizi jambo ambalo baadaye lilikuja kubainika kuwa hana hatia yoyote....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama kuu ya Tanzania Yatupilia mbali kesi dhidi ya Waziri mkuu Mh....

Mahakama kuu ya Tanzania imetupilia mbali kesi dhidi ya waziri mkuu, Mh. Mizengo Pinda iliyofunguliwa na kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na chama cha wanasheria Tanganyika TLS kwa sababu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandalizi wa Mazishi aagiza Maiti Ikatwe Miguu ili kuifanya itoshe kwenye...

Mwandalizi mmoja wa mazishi nchini Afrika Kusini,anayedaiwa kuwaagiza wafanyakazi wake kuikata miguu ya maiti moja aliyodai kuwa ndefu sana alifikishwa mahakamani Ijumaa.    Ronel Mostert anayemiliki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumamosi ya tarehe 7 June 2014

Magazeti  ya  leo  Jumamosi  ya  tarehe  7 June  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana afikishwa mahakamani jijini Mwanza kwa tuhuma za kukutwa akifanya...

MTU mmoja amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza kwa tuhuma za kukutwa akifanya mapenzi na mbuzi.   Mtuhumiwa huyo, William Sebastian (21), mkazi wa Kijiji cha Mlezi alisomewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tuzo za MTV MAMA kufanyika Leo,Durban Afrika Kusini

Mwigizaji maarufu nchini Marekani ambaye pia ni mchekeshaji, mwandishi wa muswada na mwongozaji wa filamu, Marlon Wayans anatarajiwa kuwa  msanii mkubwa atakayeongoza jukwaa katika hafla ya ugawaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotuba ya Rais Shein wa Zanzibar kumuenzi David Livingstone ikiwa ni miaka...

Ndugu Wananchi, Tuna wajibu mkubwa wa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa afya na uzima tukaweza kujumuika leo hii. Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa viongozi wa Kanisa la Anglikana wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray C kugombea Ubunge 2015 ili kupigana na watu wanaoingiza madawa ya kulevya...

Makundi  mengi  ya  vijana  ndani  ya  mtandao  wa  facebook  yamekuwa  na  imani  kuwa  msanii  Rehema  Chamila  anaweza  kuwa  mtetezi  wao  mkubwa  endapo  ataamua  kuingia  kwenye  siasa... Vijana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jini Kabula ayakana Mapenzi ya Baa....Asema kama unamtaka kimapenzi mfuate...

Sitaki  tena....Ndivyo  unavyoweza  kusema  kutokana  na kauli  ya  nyota  wa filamu  za  kibongo  Mirium Jolwa  "Jini Kabula"  ambaye  amedai  kuwa  kwa  sasa  hataki  kusikia  mapenzi  ya  pesa  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maelezo ya mmiliki wa nyumba alikouwawa yule Chatu mwenye kitambaa cha...

June 05 2014 mchana kupitia mitandao mbalimbali Tanzania zilisambaa taarifa zikimuhusu mmiliki wa mojawapo ya nyumba maeneo ya Sakina jijini Arusha kwamba nyoka aliyekua akimfuga kwa siku nyingi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yawapa Uraia wakimbizi wa Kisomali 1,514.....Waziri Chikawe...

Felix Mwagara SERIKALI imewapa uraia wa Tanzania Wakimbizi wa Kisomali wenye asili ya Kibantu 1,514 waliokuwa wanaishi katika Makazi ya Chogo, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.   Wakimbizi hao ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma alazwa Hospitalini.....

Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amelazwa hospitalini kwa uchunguzi wa afya , atapumzika kwa muda ingawa ataendelea na majukumu akiwa nyumbani.   Taarifa hii ni kwa mujibu wa maafisa kutoka kwa ofisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aongoza waombolezaji kuuaga mwili wa mfanyakazi wa Ikuli,...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za mwisho katika Kanisa la Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Ernesti B....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Joshua Nassari ( CHADEMA ) afunga Ndoa ya Kihistoria....Watu wamepiga...

Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru jijini Arusha ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bonyeza hapa kuangalia Majina ya Walioitwa kwenye USAILI nafasi ya Mkaguzi...

Kufuatia tangazo la kazi lililotolewa na Kamishna Mkuu wa Uhamiaji la tarehe 14 na 17 Februari, 2014 kwenye magazeti ya Habari Leo, Mtanzania na Daily news; kuhusu kujaza nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ibada ya Kiislamu kufanyika Vatican ( Makao makuu ya kanisa Katoliki ) kwa...

Kwa mara ya kwanza katika historia, sala na mafundisho kutoka kwenye Quran yatasikika Vatican Jumapili, ambako ni makao makuu ya kanisa katoliki duniani.   Uamuzi huo umefanywa na Papa Francis ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za redcarpet ya MTV Awards,Diamond akiwa na Wema Sepetu na muonekano wa...

Hapa kuna picha za red carpet ambapo Wema na Diamond walipata picha  ya  pamoja. Utaweza kuona picha za backstage na muonekano wa stage ya show ya leo. <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Diamond, Vanessa Mdee kawa Verified Twitter

Imekuwa kama zali jana, ikiwa ndio siku ya kukumbuka siku yake ya kuzaliwa, mwanamuziki na mtangazaji maarufu, Vanessa Mdee aka VeeMoney kaingizwa kwenye orodha ya watu maarufu duniani, kwa account...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rihanna awajibu TLC waliomponda kuwa anauza ng9no kwa kuvaa nusu mtupu

Vazi la Rihanna katika tuzo za mitindo za CFDA mwaka huu limeendelea kuwa gumzo na wengi wamemshambulia kwa madai ya kutojali maadili.   Member wa kundi la TLC, Chilli na T-Boz nao hawakusita kumpa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jennifer Lopez na Casper Smart wapigana chini

Miaka miwili na nusu ya mapenzi yaliyokuwa yakitajwa kama mfano wa wapendanao kweli imekamilika na story imebadilika pia baada ya Jennifer Lopez na mpenzi wake mwenye umri mdogo, Casper Smart kupigana...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>