Felix Mwagara
SERIKALI imewapa uraia wa Tanzania
Wakimbizi wa Kisomali wenye asili ya Kibantu 1,514 waliokuwa wanaishi
katika Makazi ya Chogo, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.
Wakimbizi hao ambao walikimbia nchi
yao Somalia baada ya vita kutokea mwaka 1990 ambapo baadhi yao 3,000
walikimbilia nchini kwa kutambua kuwa ndipo mababu zao walikotoka,
Serikali iliwapokea na kuwahifadhi
↧