Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma alazwa Hospitalini.....

$
0
0
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amelazwa hospitalini kwa uchunguzi wa afya , atapumzika kwa muda ingawa ataendelea na majukumu akiwa nyumbani.   Taarifa hii ni kwa mujibu wa maafisa kutoka kwa ofisi yake. Taarifa hiyo ilisema kuwa Zuma atalazimika kumpumzika kwa muda ingawa ataendelea na majukumu yake ya kitaifa akiwa nyumbani.  “Hapo jana Ijumaa Rais Zuma alishauriwa kupumzika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>