Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maelezo ya mmiliki wa nyumba alikouwawa yule Chatu mwenye kitambaa cha maandishi ya kiarabu jijini Arusha

$
0
0
June 05 2014 mchana kupitia mitandao mbalimbali Tanzania zilisambaa taarifa zikimuhusu mmiliki wa mojawapo ya nyumba maeneo ya Sakina jijini Arusha kwamba nyoka aliyekua akimfuga kwa siku nyingi na kuhusishwa na imani za kishirikina, ameuwawa na Wananchi.  Wananchi walimuua nyoka huyo na kisha kumkata kata vipandevipande ambapo baada ya hizi taarifa kusambaa mmiliki wa nyumba hii

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>