Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bonyeza hapa kuangalia Majina ya Walioitwa kwenye USAILI nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji......Usaili ni tarehe 13 mwezi huu wa Juni

Kufuatia tangazo la kazi lililotolewa na Kamishna Mkuu wa Uhamiaji la tarehe 14 na 17 Februari, 2014 kwenye magazeti ya Habari Leo, Mtanzania na Daily news; kuhusu kujaza nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi anawatangazia waombaji kuangalia katika tovuti www.moha.go.tz na www.immigration.go.tz ambapo majina ya wanaoitwa kwenye Usaili Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>