Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tuzo za MTV MAMA kufanyika Leo,Durban Afrika Kusini

$
0
0
Mwigizaji maarufu nchini Marekani ambaye pia ni mchekeshaji, mwandishi wa muswada na mwongozaji wa filamu, Marlon Wayans anatarajiwa kuwa  msanii mkubwa atakayeongoza jukwaa katika hafla ya ugawaji wa Tuzo za MTV Africa Music Award 2014 zikatakazo tolewa leo jijini Durban Kwazulu - Natal nchini Afrika Kusini.   Hafla ya utoaji wa tuzo itafanyika katika Ukumbi wa Durbun

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>