Mahakama kuu ya Tanzania imetupilia mbali kesi dhidi ya waziri mkuu,
Mh. Mizengo Pinda iliyofunguliwa na kituo cha sheria na haki za binadamu
LHRC na chama cha wanasheria Tanganyika TLS kwa sababu hawana mamlaka
kisheria ya kumshtaki.
Kesi hiyo iliyokuwa inasikilizwa na jopo la majaji
watatu likiongozwa na Jaji Kiongozi Fakih Jundu imetupiliwa mbali baada
ya jopo hilo kukubaliana
↧