Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mahakama kuu ya Tanzania Yatupilia mbali kesi dhidi ya Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda

$
0
0
Mahakama kuu ya Tanzania imetupilia mbali kesi dhidi ya waziri mkuu, Mh. Mizengo Pinda iliyofunguliwa na kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na chama cha wanasheria Tanganyika TLS kwa sababu hawana mamlaka kisheria ya kumshtaki.    Kesi hiyo iliyokuwa inasikilizwa na jopo la majaji watatu likiongozwa na Jaji Kiongozi Fakih Jundu imetupiliwa mbali baada ya jopo hilo kukubaliana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>