Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SIWEZI KUMWACHA PREZZO HATA AWE MALAYA KIASI GANI....MUNGU ALIMZAA KWA AJILI...

DIVA  AKIWA  NA  MKE  MWENZA... Jana Diva wa Clouds fm amevunja ukimya na  kufunguka  tena  kuhusu  penzi  lake  kwa  Mkenya  a.k.a  Prezzo... Diva  ndani  ya  pozi  la  nusu  uchi... HII  NI  KAULI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA ADAI KUWA UJIO WA RAIS OBAMA SI KWA AJILI...

Akiongea na waandishi wa habari jana, Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Alfonso Lenhard amesema ziara ya mwezi ujao ya Rais wa Taifa la Marekani, Barack Obama nchini Tanzania haina ajenda ya siri:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WA KITUO CHA MAGOMENI ATIMULIWA KAZI BAADA YA KUPIGA PICHA ZA NUSU UCHI

POLISI wa kike wa Kituo cha Magomeni, jijini Dar es Salaam aliyejulikana kwa jina moja la Anisa, ametimuliwa kazi  kwa madai ya kupiga picha ya utupu iliyosambaa mitandaoni. Chanzo makini ndani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SIKUHUDHU"RIA MAZISHI YA NGWEA KWA SABABU BABA YANGU ALIKUWA NI MGONJWA"......

Mwanamuziki aliyewahi kuvunja rekodi ya mwaka 2010 kwa kunyakua tuzo tano kwa mfululizo Abasi Kizasa" 20 pacent" ameibuka na kutoa sababu za msingi za kushindwa kwenda kushiriki kwenye mazishi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LWAKATARE AMEACHIWA KWA DHAMANA YA MILIONI 10

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Muganyizi Lwakatare ameachiwa kwa dhamana ya shilingi milioni 10 leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUNDI LA MATAPELI WANAODAI KUTOA MIKOPO BILA RIBA WAVAMIA ACCOUNT ZA DIAMOND...

Kundi la matapeli wanaojiita Saving Foundation leo wameihack akaunti za Facebook na Twitter za Diamond na kuandika ujumbe unaoonekana kama umeandikwa na Diamond.    Amepigiwa  simu  Diamond ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHINDI WA REDD'S MISS NYAMAGANA 2013 AVULIWA TAJI HILO BAADA YA KUBAINIKA...

Aliyekuwa mshindi katika shindano la kumtafuta mrembo wa wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza, Redd’s Miss Nyamagana 2013 Diana Amimo amevuliwa taji hilo baada ya kubainika kudanganya umri wake pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NIKIFA ASHA BARAKA ASIJE KWENYE MSIBA WANGU, NA KAMA ATAKUFA YEYE BASI...

MKURUGENZI wa Extra Bongo Ally Chocky ametoa kauli nzito kuhusu waajiri wake wa zamani, Asha Baraka na Baraka Msilwa.Katika maongezi yake  Chocky alisema katika watu asiowapenda duniani ni Asha Baraka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AFUNGWA MIAKA 3 KWA KOSA LA KUMNG'ATA MUMEWE SEHEMU ZA SIRI HUKO...

MAHAKAMA ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida umemhukumu mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Kisana wilayani humo, Sayuni Ramadhani (42) kwenda jela miaka mitatu baada ya kukiri kosa la kumng’ata mumewe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP SAID MWEMA AKUTANA NA VIONGOZI WA KANISA KATOLIKI KUPANGA MBINU ZA...

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini , IGP Said Mwema akizungumza katika kikao cha Mashauriano kati ya Jeshi la Polisi na viongozi wa makanisa ya kikatoliki.kikao hicho pia kilihudhuriwa na Askofu Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DHARAU ZA PAUL KAGAME KWA USHAURI WA RAIS KIKWETE .....

  DHARAU  za Rais wa Rwanda Paul Kagame kwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jakaya Mrisho Kikwete zimewagawa Watanzania  na  kuwafanya  wawe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI MBAYA KATI YA MWENDESHA BODABODA NA LORI.....DEREVA WA BODABODA...

  Ajali imetoke Mtaa wa chuma road karibu na bodi ya nafaka.. Wenye pikipiki walikua wanatoka Veta kunyoosha mbozi road na mwenye gari anatokea kwa sokota, mwenye gari akapinda kona ya Simba Plastiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA MAZISHI YA MSANII WA BONGO MOVIE ( KASHI ) ALIYEFARIKI JANA

Msanii Kashi katika enzi za uhai wake               Pichani juu ni mazishi ya msanii ya mwigizaji  Jaji Khamis 'Kashi' aliyefariki jana mchana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDO VIDEO YA MCHUNGAJI ALIYENASWA AKIMTOMASA MUUMINI WAKE....

KATIKA  hali ya kushangaza , mchungaji mmoja huko nchini Nigeria amejikuta akiaibika baada ya video yake aliyokuwa  akimtomasa  mwanamke  wakati wa  maombi  kuvuja na kusambaa kitika mitandao mbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAPINGA UWEPO WA SERIKALI TATU....

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimepinga muundo wa Muungano wa Serikali tatu unaopendekezwa katika rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mwanzoni mwa wiki iliyopita. Chama hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA WAKENYA WALIVYOANDAMANA JUNE 11 NA KINYAGO CHA NGURUWE NA DAMU...

Miungano ya kijamii ikiongozwa na Bunge la mwananchi,Muhuri na pawa 254 miongoni mwa mengine yameandaa maandamano ya pili kupinga juhudi za wabunge kuhujumu tume ya kuratibu mishahara nchini kenya SRC...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA SUPERMARKET HUKO MOSHI WAANDAMANA KUPINGA RUSHWA YA NGONO...

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama  WAFANYAKAZI wa Supermarket ya Nakumatt, iliyopo mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, wameulalamikia uongozi wa duka hilo kwa madai ya kuwanyanyasa na kuwaomba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKUMBUSHO: TAREHE KAMA YA LEO, RAIS NELSON MANDELA ALIFUNGWA MIAKA 27 JELA

Siku kama ya leo (June 12) mwaka 1964 viongozi wapatao 8 wa chama cha ANC akiwemo rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela walihukumiwa kwenda jela, ambako mzee Mandela alitumikia kifungo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAMILIA YA NGWEA YAMKATAA MTOTO WAKE ALIYELETWA NA MAMA YAKE MAKABURINI

Siku chache baada ya aliyekuwa mkali wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’ kupumzishwa kaburini kufuatia kifo cha usingizini nchini Afrika Kusini kilichotokea Mei 28, mwaka huu, mambo kibao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE AMTWANGA MUMEWE BAADA YA KUMKUTA AKITAZAMA RUNINGA KABLA YA KUMALIZA KAZI...

MWANAMUME mmoja katika mtaa wa Mwanzo, Eldoret anauguza majeraha baada ya kupigwa na mkewe kufuatia mzozo uliotokana na yeye kupatikana akitazama runinga kabla ya kumaliza kazi ya nyumbani.Kwa mujibu...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>