Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUUAJI WA DADA ALIYECHINJWA KAMA KUKU MIKOCHENI B AMEPATIKANA

MFANYAKAZI wa Jaji Kileo, Philemon Laiza (27) anadaiwa kumchinja mtumishi wa ndani wa jaji huyo, ambaye ni raia wa Kenya, Perpetua Mainab (30).  Mtuhumiwa huyo, ambaye alikuwa ni mtunza bustani katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIPATIE NAKALA YAKO YA RASIMU YA KATIBA MPYA HAPA ......

<!-- adsense --> Hii ni Rasimu ya Katiba mpya  kwa  watanzania  wenzetu ambao bado  hawajapata  muda  wa  kuisoma  kwa  makini   Bofya  hapo  chini... Rasimu.pdf (387.8 KB)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANA FA AFUNGUKA KUHUSU BIFU LAKE NA LADY JAYDEE

Baada  ya  kutibuana  na  Lady  Jaydee, Mwana  FA  ameamua  kuvunja  ukimya  na  kuwataka  mashabiki  wachukulie  poa  maana  ni hali  ya  kawaida  tu  katika  maisha  ya  kibinadamu..... Ugomvi  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA VIFO VINGI, WASANII WAHAMASISHANA KUMRUDIA MUNGU

KUTOKANA na vifo vya mara kwa mara vya wasanii, staa wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema ni wakati wa wasanii kumrudia Mungu. Akizungumza na mwandishi  wetu hivi karibuni,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA MAMA ALIYEKAA JUU YA PAA KWA SIKU TANO KUZUIA NYUMBA YAKE KUUZWA NA...

Huyu mama alikaa juu ya paa kwa siku tano  tangu jumamosi kupinga nyumba yao kuchukuliwa na bank.Anasema mumewe alimdhamini mtu ambaye  alichukua mkopo bank miaka mingi iliyopita na kushindwa kulipa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LADY JAYDEE NA MWANAFA KESHO HAPATOSHI....SUGU AMPA SHAVU LADY JAYDEE NA...

Ile the Big Square 1, show za magwiji wa muziki Tanzania mwana FA ‘The Finest’ na Lady Jay Dee ‘Miaka 13 ya Lady Jay Dee’ zitapigwa kesho June 14, huku presha ikiwa inaongezeka hasa kwa fans...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI AINA YA TOYOTA GLANZA TURBO INAUZWA KWA SH. MILIONI TANO ..

Toyota Glanza Spot (Turbo Charger) Inauzwa  kwa  sh.milioni  tano  tu .Gari ipo ipo Dar es Salaam .Piga Simu 0714604974 or 0684885441 kwa  mawasiliano  zaidi kuhusu hii Gari... Upande wa Nyuma <!--...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: MSANII LANGA AFARIKI DUNIA

Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani) Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii Langa amefariki dunia.. Habari zinadai  kuwa , Msanii huyu alikumbwa na Malaria kali sana hali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB)...

<!-- adsense --> HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NAMATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POST ZA MWISHO ZA FACEBOOK NA TWITTER NA VIDEO YA MWISHO YA MAREHEMU LANGA KILEO

<!-- adsense --> Ikiwa ni siku chache baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Albert Mangwea, tasinia ya Muziki wa kizazi kipya imepata pigo jingine  kubwa kwa kuondokewa na msanii wa Hip Hop...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NI UJUMBE ALIOTUMA MTANZANIA MWENZETU AMBAYE AMEFUNGWA ANGOLA BAADA YA...

Baadhi ya ndugu na marafiki wa Mtanzania aliehukumiwa kifungo cha miaka nane nchini Angola baada ya kupatikana na dawa za kulevya alizokua akizisafirisha kwenda Afrika Kusini, wamepaza sauti kuomba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILICHOSEMWA NA HOSPITALI YA MUHIMBILI KUHUSU KIFO CHA MSANII LANGA

Aminiel Aligaesha ambae ni Afisa Uhusiano wa hospitali ya Taifa Muhimbili amethibitisha kwamba msanii Langa amefariki dunia June 13 2013 saa kumi na moja jioni baada ya kufikishwa hospitalini hapo toka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NAFIKIRIA KUAHIRISHA SHOW YANGU ILA SI KWA KUMUOGOPA MWANAMKE"...MWANA FA

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Mwana FA anafikiria kuahirisha shoo yake ya kesho kufuatia kifo cha msanii mwenzake wa kizazi kipya Langa Kileo, kilichotokea leo  jijini Dar es Salaam....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJINA NA KAMBI ZA JESHI WALIKOPANGIWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA...

TANGAZO MKUU WA JKT MEJA JENERALI RAPHAEL MUHUGA ANAWAITA VIJANA 10,849 WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA MWAKA 2013 KUJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA KAMA IFUATAVYO:-1. VIJANA WOTE WALIOHITIMU KIDATO CHA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANDAO MPYA WA KIJAMII ( MAYOCOO) WAZINDULIWA

Mwanafunzi  wa  Chuo  kikuuu cha  Dodoma, ndugu  Justice  Donatus    amefanikiwa kutengeneza  mtandao  wake wa  kijamii  uitwao  MAYOCOO  ambao  utasaidia kuiunganisha  jamii  ya  kitanzania  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AMBURUZA KORTINI MBUNGE MSIGWA BAADA YA KUMWUITA JANGILI

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdul-rahman Kinana amemfungulia kesi Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa (Chadema), kutokana na kumtuhumu anajihusisha na ujangili na biashara haramu ya pembe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"TUMEFUKUZWA KAZI BAADA YA KUYAKAMATA MAGARI YA VIGOGO SERIKALINI AKIWEMO...

ASKARI 15 wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam waliofukuzwa kazi hivi karibuni kwa kosa la kupokea rushwa ili kupitisha mizigo bandarini kwa njia za magendo wameibuka na kutoa siri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI YA SERIKALI YAPANDISHA BEI YA BIA NA SIGARA

Serikali imeendelea kuongeza kodi kwenye magari makuukuu, bia, vinywaji vikali, na baridi kama ambavyo kodi imekuwa ikifanya kila mwaka na kuwaathiri watumiaji.  Kutokana na hali hiyo wanywaji pombe na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KICHANGA CHAOKOTWA KIKIWA KIMEKUFA HUKO MAGOMENI

Mwili  wa  mtoto  ukiwa  umetupwa Wakazi  wakishuudia mototo mchanga akiwa ametupwa na kufariki dunia katika eneo hilo na mtu asiyefaamika. Askari polisi wa kituo cha magomeni usalama wakiwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO ALIYEFARIKI JANA

Ratiba ya mazishi ya ndugu yetu Langa Kileo itakuwa kama ifuatavyo, msiba upo nyumbani kwa wazazi wa Langa maeneo ya Mikocheni nyuma ya Hospitali ya AAR zamani kulikuwa na ofisi za Benchmark...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>