Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WASANII TUTAZIDI KUPUKUTIKA MAANA TUNAROGANA SANA..NATAMANI KUACHA MUZIKI...

MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, suala la wasanii wa muziki kurogana linamuumiza kichwa kiasi cha kufikiria kuachana na kazi hiyo. Akiongea na mwandishi wetu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMMY DIMPOZ AMTANDIKA TUSI MAREHEMU NGWEA....ANADAI KUWA HAWEZI KUFA MASIKINI...

KWELI asiye na adabu hakosi sababu ya kuharibu, mwenye mdomo mchafu ni ada yake kutoa neno chafu, mwanamuziki chipukizi, Omar Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amedhihirisha kuwa ana kiwango cha juu sana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATNUMZ AWAPONDA BARAZA LA SANAA LA TAIFA -BASATA

Diamond Platnumz amelishukia Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA kuwa linaurudisha nyuma muziki wa Tanzania kutokana na kutoruhusu kuanzishwa kwa tuzo zingine za muziki nchini tofauti na Kilimanjaro Music...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: MWANAMKE ANASWA AKIVUNJA AMRI YA SITA VICHAKANI HUKU AKIWA NA MTOTO...

<!-- adsense --> Mwanamke  mmoja  amenaswa  akifanya  uchafu  porini  huku  akiwa  na  mtoto  mchanga  mgononi... Tukio  hilo  la  kusikitisha  liliwanasa  wawili  hao wakiridhishana  chini  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OBAMA AAHIRISHA SAFARI YAKE YA KUTEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA TANZANIA

Rais Obama ambaye ameamua kukatiza ziara yake ya kitalii Tanzania kwa ajili ya kushughulikia kwanza matatizo ya wananchi wake. Magari ya kivita 56 ambayo yatatakiwa kumsindikiza Obama katika safari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU WAFURIKA KWENYE SHOW YA LADY JAYDEE NDANI YA NYUMBANI LOUNGE

<!-- adsense --> Hivi ndivyo hali ilivyo ndani ya Ukumbi huu wa Nyumbani Lounge,Namanga jijini Dar es Salaam ambapo leo hii kuna bonge moja la show la Mwanadada mkongwe kwenye tasnia ya muziki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANA FA AMEAMBULIA PATUPU.... HIZI NI PICHA NA VIDEO YA SHOW YAKE

Nilikua narudi mjini nikitokea Kigamboni kupumzisha akili. Sasa nikapita pale opposite na iFM kucheki kama Mwana FA  kala shavu. FA  katia  huruma sana. Yaani mlangoni kulikuwa na  wanafunzi wachache...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA SHOW YA LADY JAYDEE NYUMBANI LOUNGE.... WATU WALIJAA MPAKA WAKAANZA...

Mwanadada Judith Mbibo aka Lady Jaydee usiku wa kuamkia Jumamosi ya June 15 amefanikiwa kuweka historia kwenye muziki wa Tanzania kwa kulijaza eneo zima la Nyumbani Lounge alipokuwa akifanya show yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA AMKANA MTOTO KISA ANA NYWELE ZA KIARABU.....MAMA AKASIRIKA NA KUMTUPA,...

Binti mmoja aliyefahamika kwa jina la Khadija Idd anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro  akidaiwa kumtupa barabarani mtoto wake mwenye umri wa miezi 6 baada ya mwanaume aliyezaa naye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: MAJIBU YA CHADEMA KUHUSU KAULI YA MWIGULU NCHEMBA

Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo wa CHADEMA, Benson Kigaila amesema Serikali ya CCM inapanga na kutekeleza mauaji ili kutengeneza propaganda dhidi ya CHADEMA.<!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU WATATU WAFARIKI DUNIA KWENYE MLIPUKO WA BOMU ULIOTOKEA KWENYE MKUTANO WA...

Uwanja wa Soweto ambapo Mkutano wa Chadema kufunga kampeni za kuwania Udiwani Kata ya Kaloleni Jijini Arusha ulikuwa unafanyika umegeuka kuwa uwanja wa vilio baada ya kinachodhaniwa kuwa bomu kulipuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TID AAPA KUMTANDIKA OMMY DIMPOZ ...KOSA NI TUSI ALOMTUKANA NGWEA.....

Msanii T.I.D naye ameingilia   kati  tuhuma za Ommy Dimpoz kumtukana marehemu Albert “Ngwair”    kwa  kuahidi  kumdunda  popote  atakapomuon.... Hiki ndicho  alichosema msanii TID kwenye ukurasa wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMMY DIMPOZ AWAPIGIA MAGOTI WATANZANI AKIOMBA ASAMEHEWE KWA TUSI LAKE

Baada   ya  watanzania  kumwandama  Ommy  Dimpoz  kutokana  na  tusi  alomtukana  marehemu  Ngwea,  msanii  huyo  ameamua  kuwapigia  magoti  watanzania  na  kuwasihi  wamsamehe..... Hali  hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLIPUKO WA BOMU WASABABISHA UCHAGUZI WA MADIWANI JIJINI ARUSHA USOGEZWE MBELE

Tume ya taifa ya Uchaguzi imesimamisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata nne jijini Arusha.  Akizungumza kwa njia ya simu na Radio TBC FM,kutoka Zanzibari mwenyekiti huyo wa tume ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR. MARY NAGU ANUSURIKA KUCHOMWA MOTO NA WAFUASI WA CHADEMA

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu pamoja na Mbunge wa Babati Vijijini, Jitu Soni (CCM), wamenusurika kuchomwa moto na wafuasi wa Chadema usiku wa kuamkia jana....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BETTY NA BOLT WANASWA TENA WAKIVUNJA AMRI YA SITA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

Mu Ethiopia Betty na mu Sierra Leon Bolt wameanikwa  tena  na  camera  za  Jumba  la  big  Brother  wakivunja  amri  ya  sita. Hii  ni  mara  ya  pili  kwa  washiriki  hao  kutenda  tendo  hilo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE KIM KARDASHIAN AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

NI siku ya furaha kwa Kanye West! Kim Kardashian amejifungua mtoto wa kike Jumamosi asubuhi katika hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center, Los Angeles, mtandao wa OMG umethibitisha.Inasemekana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA NATASHA WA MALAWI AKIPIGA PUNY*TO NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

<!-- adsense --> Camera  za  jumba  la  big brother  zimeendelea  kuaanika  mambo  yanayoendelea  ndani  ya  jumba  hilo  Mashiriki  toka  Malawi  amekuwa  ni  mshiriki  wa  kwanza  kuanikwa  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TUKIO LA BOMU ARUSHA

<!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKASA MZIMA KUHUSU KUPIGWA KWA MBUNGE NASSARI KATIKA KITUO CHA KURA MAKUYUNI

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari ameshambuliwa na vijana wa Chama cha Mapinduzi wakiongozwa na Kiongozi wa Chama cha Mapinduzi, Mkoa wa Arusha aliyejulikana kwa jina la Kalanga na  kulazimika...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>