Rais Obama ambaye ameamua kukatiza ziara yake ya kitalii Tanzania kwa ajili ya kushughulikia kwanza matatizo ya wananchi wake.
Magari ya kivita 56 ambayo yatatakiwa kumsindikiza Obama katika safari yake ya kitalii Tanzania
Askari walenga shabaha watakaokuwa wanamlinda na wanyama wakali
Meli ya kivita itakayokuwa ufukweni ikiwa na ndege za kivita na wafanyakazi wa dharura na wauguzi.
↧