Binti mmoja aliyefahamika kwa jina la Khadija Idd
anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro akidaiwa kumtupa barabarani
mtoto wake mwenye umri wa miezi 6 baada ya mwanaume aliyezaa naye
kumkataa.
Shuhuda
wetu ambaye ni dereva wa bodaboda aliyefahamika kwa jina la Shabani,
alisema tukio hilo lilitokea Juni 11, mwaka huu maeneo ya Mafiga karibu
na Msikiti wa Mahita ambapo
↧