Mwanadada Judith Mbibo aka Lady Jaydee usiku wa kuamkia Jumamosi ya
June 15 amefanikiwa kuweka historia kwenye muziki wa Tanzania kwa
kulijaza eneo zima la Nyumbani Lounge alipokuwa akifanya show yake ya
kuadhimisha miaka 13 tangu aanze muziki.
Katika show hiyo, Lady Jaydee amesindikizwa na wasanii mbalimbali
wakiwemo Juma Nature, Sugu, Profesa Jay, Wakazi, Grace Matata na
↧