Nilikua narudi mjini nikitokea Kigamboni kupumzisha akili. Sasa nikapita
pale opposite na iFM kucheki kama Mwana FA kala shavu.
FA katia huruma sana. Yaani mlangoni kulikuwa na wanafunzi wachache wa IFM ambao
walikua wakiingia kwa bei ya kandambili.
Jamaa wa mlangoni walikua wakiwabembeleza watu
wachukue tickets japo kwa 10,000/= lakini madent wa IFM walikomaa mpaka
kwa
↧