Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

WATU WATATU WAFARIKI DUNIA KWENYE MLIPUKO WA BOMU ULIOTOKEA KWENYE MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA JIONI YA LEO

$
0
0
Uwanja wa Soweto ambapo Mkutano wa Chadema kufunga kampeni za kuwania Udiwani Kata ya Kaloleni Jijini Arusha ulikuwa unafanyika umegeuka kuwa uwanja wa vilio baada ya kinachodhaniwa kuwa bomu kulipuka na kuua watu watatu na zaidi ya 50 kujeruhiwa vibaya huku baadhi yao wakiwa wamevunjika miguu. Katika Mkutano huo walikuwapo pia Mwenyekiti wa Chadema na  Mbunge wa Arusha Mjini, Mh

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>