Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MLIPUKO WA BOMU WASABABISHA UCHAGUZI WA MADIWANI JIJINI ARUSHA USOGEZWE MBELE

$
0
0
Tume ya taifa ya Uchaguzi imesimamisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata nne jijini Arusha.  Akizungumza kwa njia ya simu na Radio TBC FM,kutoka Zanzibari mwenyekiti huyo wa tume ya uchaguzi alisema kuwa wameamua kusimamisha uchaguzi huo ili kuwapa nafasi vyombo vya usalama kuchunguza swala hilo. Alisema kuwa sheria inawapa mamlaka kufanya hivyo pale wanapogundua kuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>