Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"GREEN GUARD" WATUHUMIWA KUWAJERUHI VIONGOZI WA CHADEMA HUKO MOROGORO

Taarifa ambazo zimepatikana kwenye mitandao jamii zinaelezwa kuwa, jana usiku katika kata ya Minepa jimbo la Ulanga Magharibi, vijana waliosadikiwa kuwa wa “green guard” waliwavamia viongozi wa CHADEMA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJANA MMOJA AKUTWA AMEKUFA KATIKA NYUMBA INAYOJENGWA, KIGOGO, DAR

Mwili ukiwa eneo la tukio. Ukiwa umefunikwa.                   Mashuhuda wa tukio hilo. Kijana mmoja aliyefahamika wa kwa jina la Kobero, leo asubuhi amekutwa akiwa amekufa kwenye chumba kimoja cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA NA CCM WAKATANA MAPANGA MKOANI IRINGA

MWENYEKITI wa Baraza la Wazee wilayani Kilolo, Lunyiliko Nyaulingo amelazwa katika Hospitali ya mkoa Iringa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mgololo amelazwa Hospitali ya wilaya ya Mufindi baada ya kujeruhiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKWELI WA MAMBO KUHUSU MAMA ALIYEAMUA KUISHI JUU YA PAA LA NYUMBA HUKO MBEZI...

WIKI iliyopita kuliibuka sakata zito lililochukua nafasi kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, lililomuhusisha mama mmoja aliyejulikana kwa jina la Hezelina Mrema mkazi wa Mbezi Beach, eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJINA YA WASHINDI WA TUZO ZA FILAMU ZA STEPS ENTERTAINMENT HAYA HAPA

Yafuatayo ni majina ya washindi wa tuzo za filamu kwa mwaka 2012/13 toka kampuni ya steps entertainment zilizofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa hoteli ya blue Pearl iliyopo ubungo jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPENZI YA JINSIA MOJA YAOTA MIZIZI MKOANI MOROGORO....MAAMBUKIZI YA UKIMWI...

HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro inakabiliwa na changamoto ya kukua kwa maambukizi ya Ukimwi, baada ya kushamiri kwa biashara ya mapenzi ya jinsia moja.  Akizungumza na waandishi wa habari mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AVUA NGUO NA KUCHEZA UCHI BAADA YA KUZIDISHA POMBE HUKO MBAGALA ZAKHEIM

DADA mmoja ambaye jina lake halikuweza kujulukana mara moja aliuacha hoi umati wa watu waliokuwa kwenye baa moja hivi (jina kapuni) huko mbagala Zakheim mara baada ya kuvua nguo zote na kubaki uchi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA CHADEMA WAGOMA KUINGIA BUNGENI KUFUATIA BOMU LA ARUSHA...IGP ATOA...

Wakati Jeshi la Polisi nchini limesema limepata taarifa za mwonekano wa mtu aliyetupa bomu katika mkutano wa kampeni wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Arusha, Mwenyekiti wa chama hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: MWANAMKE ABAKWA NA KUZIKWA AKIWA MZIMA...POLISI WAMFUKUA NA KUKUTA...

<!-- adsense --> Matukio ya kikatili  yameendelea  kutikisa nchini Nigeria  baada ya mwanamke  mmoja  kubakwa  na  kuzikwa  akiwa  mzima.... Taarifa  toka  katika mitandao ya kinigeria zinadai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR. NCHIMBI AWAFARIJI WAHANGA WA BOMU NA KUTEMBELEA SEHEMU ILIYOLIPULIWA BOMU

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dk. Emmanuel Nchimbi akiwa katika viwanja vya Soweto Arusha palipotokea mlipuko wa bomu wakati wa kufunga kampeni za kuwania udiwani wa kata za jijini arusha za chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO

<!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"MLIPUKO WA BOMU LA ARUSHA ULIPANGWA NA CHADEMA WENYEWE".....NAPE NNAUYE

Itakumbukwa tarehe 16/06/2013 ilikuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa madiwani kwa baadhi ya kata nchini. Uchaguzi huo umefanyika kwenye kata ishirini na mbili (22) -kati ya kata ishirini na sita (26)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAHABA WANAOJIUZA SINZA WATIWA MBARONI NA MGAMBO WA JIJI

Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata akinadada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao maarufu kama Machangudoa katika eneo la Sinza.  Picha hizi ( juu)  zinaonesha  namna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA MLIPUKO WA BOMU LA TAREHE 15 HUKO ARUSHA

Hii ni video fupi ambayo nimepata katika mtandao wa youtube ikionesha jinsi bomu hilo lilivyolipuka na wananchi kutawanyika<!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO MBILI ZA MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO

Hizi ni video zinazoonesha shughuli nzima ya kuuaga mwili wa Langa Kileo na baadaye kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar Wakati wa kuuaga mwili <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA NAPE NNAYE AKIWAVAA CHADEMA NA KUDAI KUWA WANAHUSIKA NA MLIPUKO WA BOMU

Wakati jeshi la polisi na vyombo mbalimbali vya usalama vikihaha kumtafuta mtu aliyerusha bomu katika mkutano wa kampeni huko Arusha chama cha mapinduzi CCM kimetoa tamko kuhusiana na tukio hilo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHIRIKI WA TANZANIA ( FEZA KESSY ) AKIMUOGESHA MSHIRIKI WA ZIMBABWE (...

<!-- adsense --> Video hizi  hutolewa na big borther wenyewe kwa jamii kama sehemu ya shindano hilo.... Wahiriki wote wa big brother wanajua  ya  kwamba jumba hilo limezingirwa na kamera kila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA SERIKALI KUHUSU KITITA CHA MILIONI 100 KWA MTU ATAKAYEMTAJA MTU...

Zifuatazo ni nukuu za maneno yaliyotolewa na Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, sera, uratibu na bunge William Lukuvi kuhusu hilo bomu ambalo lililipuliwa kwenye mkutano cha Chadema Arusha. “Mtu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CATHY WA BONGO MOVIE ALIA NA USHIRIKINA ULIPO NDANI YA TASNIA HIYO....AWATAKA...

Mwigizaji wa Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’  naye amenyanyua kinywa chake na kuonesha jinsi gani anakerwa na wasanii wanaoshinda kwa waganga ili kutafuta ustaa. Akiongea na mwandishi  wetu hivi karibuni,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA NAPE KUITUHUMU CHADEMA, MBOWE NAYE AFUNGUKA NA KUDAI KUWA BOMU...

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefichua siri kuhusu tukio la mlipuko wa bomu lililotokea jusi katika viwanja vya Soweto, jijini Arusha.Katika kauli yake jana,...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>