WIKI iliyopita kuliibuka sakata
zito lililochukua nafasi kwenye vyombo vya habari na mitandao ya
kijamii, lililomuhusisha mama mmoja aliyejulikana kwa jina la Hezelina
Mrema mkazi wa Mbezi Beach, eneo la Tangi Bovu jijini Dar es Salaam,
kuamua kuishi juu ya paa la iliyodaiwa kuwa ni nyumba yake.
Hatua
hiyo ilisababisha baadhi ya wanaharakati kujitokeza na kuahidi
kumsaidia mama
↧