MWENYEKITI
wa Baraza la Wazee wilayani Kilolo, Lunyiliko Nyaulingo amelazwa katika
Hospitali ya mkoa Iringa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mgololo amelazwa
Hospitali ya wilaya ya Mufindi baada ya kujeruhiwa vibaya na watu
wanaodaiwa ni wanachama wa CCM katika kampeni za mwisho za kuwania
nafasi ya udiwani.
Sambamba na hiyo Katibu wa CCM kata ya
Ng’ang’ange wilayani Kilolo, Wilhad Ngogo (
↧