Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA MENEJA WA MALAWI CARGO ANAYETUHUMIWA KUOMBA RUSHWA YA NGONO KWA...

ALIYEKUWA  Meneja wa Kampuni ya Malawi Cargo tawi la Mbeya Evason Mwale(49) raia wa nchi jirani ya Malawi, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mbeya akituhumiwa kujihusisha na Rushwa ya Ngono....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHIRIKI WA KIUME TANZANIA ( NANDO ) YUKO HATARINI KUONDOLEWA BIG...

Ni wiki tatu zimepita tukishuhudia Eviction shows tatu zilizowapa tiketi za kurudi makwao washiriki 6 mpaka sasa, na tumeshuhudia mshiriki wetu Feza Kessy akiponea kwenye tundu la sindano baada ya kura...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA MAHOJIANO YA MTANZANIA ALIYEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA EGYPT

<!-- adsense --> Kwa zaidi ya wiki moja iliyopita habari zilisambaa kwamba binti Mtanzania aliekamatwa na dawa za kulevya nchini Misri angenyongwa siku za karibuni kutokana na hizo dawa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO MKALI WATIKISA MAENEO YA KARIAKOO JIJINI DAR

Hali ikiwa tete. Moto ukiunguza paa la baa hiyo. Shock  ya umeme ikitokea karibu na jengo hilo. Watu waliojaa kushuhudia tukio hilo. Moto mkubwa umezuka jijini Dar es Salaam karibu kabisa na Soko Kuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE ATAKA KISWAHILI KITUMIKA HADI VYUO VIKUU

MBUNGE wa Karagwe, Gosbert Blandes (CCM), amehoji lini serikali itapitisha Kiswahili kitumike kuanzia Shule za Msingi hadi Vyuo Vikuu. Aidha, alisema mwaka 2004, Umoja wa Afrika ulipitisha Kiswahili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: ARUSHA KWACHAFUKA TENA.....MABOMU YA MACHOZI YATUMIKA...

  Hali kutoka mkoani si nzuri...mabomu ya machozi yanapigwa  kuwatawanya  wananchi  waliojitokeza  kuiaga  miili ya  wananchi  waliofariki katika mlipuko wa bomu... Hivi sasa polisi wanapiga mabomu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SABABU ZA JESHI LA POLISI KUTUMIA NGUVU YA MABOMU JIJINI ARUSHA MUDA HUU

Jeshi la polisi limekipiga marufuku chama cha demokrasia na maendelo(CHADEMA)kufanya shughuli zozote za kuaga miili ya marehemu kwenye viwanja vya Soweto kwani zoezi la uchunguzi bado linaendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI LINAWASHIKILIA WABUNGE 4 WA CHADEMA KWA KUSABABISHA VURUGU...

Jeshi la polisi mkoani Arusha linawashikilia viongozi wanne wa CHADEMA na watu wengine huku likiendelea kuwatafuta wabunge wawili na watu wengine.Jeshi la Polisi limesema limewatua nguvuni watu hao kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE , GODBLESS LEMA NA MBOWE WATAKIWA KUPELEKA ASHAHIDI WAO POLISI,...

Jeshi la Polisi limetishia kuwakamata Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na limesema litamhoji Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye baada ya wanasiasa hao kudai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VURUGU ZA ARUSHA: CHADEMA YAGOMA KUTOA USHAHIDI POLISI, LEMA AJIFICHA KWA...

Wabunge wanne wa Chadema, Said Arfi (Mpanda Mjini), Tundu Lissu (Singida Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce Mukya (Viti Maalumu) wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika na mkusanyiko usio halali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUNDENGA AMTIMUA MREMBO JUKWAANI BAADA YA KUTINGA NA KIVAZI CHA NUSU UCHI....

MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAHABA APEWA KICHAPO KIKALI BAADA YA KUNASWA AKIJUZA JIRANI NA MSIKITI

Kahaba  mmoja   alijikuta akiambulia kichapo kikali toka kwa vijana wa kiislamu baada ya kunaswa akijiuza karibu na msikiti wao.....   Tukio hilo lilishuhudiwa na wanahabari wetu majira ya usiku jirani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAUTI YA SAIDA KAROLI AKITHIBITISHA KUWA NI MZIMA NA HAJAFA KAMA WATU...

<!-- adsense --> Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za asili nchini Saida Karoli, amezikanusha tetesi zilizoanza kuenea tangu jana kuwa amefariki kwenye ajali ya boti katika ziwa Victoria. Akiongea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO NYINGINE YA VURUGU ZA ARUSHA IKIONESHA JINSI WATU WALIVYOPOTEZA MAISHA

  VIDEO NYINGINE YA VURUGU ZA ARUSHA IKIONESHA JINSI WATU WALIVYOPOTEZA MAISHA   <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKA WA...

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetuma salamu za rambi mbali kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Magesa Muhongo kutokana na vifo vya wananchi watatu wa Mkoa huo vilivyotokea kufuatia mripuko wa bomu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOHN MNYINKA ADAI KUWA KESHO WATAWASHA MOTO TENA JIJINI ARUSHA

WAKATI Jeshi la Polisi Mkoani Arusha ikiendelea kumsaka Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema,Mbunge wa Ubungo John Mnyika kesho atawasha moto mwingine wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IDD SIMBA NA WENZAKE WAACHIWA HURU KATIKA KESI YA KUHUJUMU UCHUMI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo hii imemwachiria huru Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Idd Simba pamoja na Mkurugenzi wa Bodi hiyo ambaye alikuwa Diwani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA CHADEMA NA WANANCHI WA ARUSHA WAMEACHIWA KWA DHAMANA.....POLISI...

Jeshi la polisi nchini limewaachilia kwa dhamana viongozi wa Chadema na wananchi wote waliokuwa wanashikiliwa na limemtaka mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe kuwasilisha ushahidi wa mtu aliyelipua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NASSARI NI MUONGO NA NI MNAFIKI, TUMEMRUHUSU KWA AMANI NA BADALA YAKE KADAI...

UONGOZI wa hospitali ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ya Selian jijini Arusha umekanusha vikali taarifa zilizotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chadema John Mnyika kuwa serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"TUKIO LA ARUSHA LIMENIFANYA NIAMINI KUWA TANZANIA KUNA WANARIADHA...

Tukio la bomu la Arusha  limewasitua wengi  kufuatia  vifo  vya  wananchi  wanne  wasio  na  hatia.... Nasema  hawana  hatia  kwa  sababu  siku ya  tukio  wananchi  hao  walikuwa  katika  mkutano  wa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>