<!-- adsense -->
Kwa zaidi ya wiki moja iliyopita habari zilisambaa kwamba
binti Mtanzania aliekamatwa na dawa za kulevya nchini Misri angenyongwa
siku za karibuni kutokana na hizo dawa alizokamatwa nazo.
Baadae balozi wa Tanzania Egypt alijitokeza na kukanusha taarifa za kunyongwa na akakubali kwamba kweli kuna
Watanzania wawili wamekamatwa ambao ni huyo msichana na ndugu yake wa
↧