Ni wiki tatu zimepita tukishuhudia Eviction shows tatu zilizowapa
tiketi za kurudi makwao washiriki 6 mpaka sasa, na tumeshuhudia mshiriki
wetu Feza Kessy akiponea kwenye tundu la sindano baada ya kura za wa
Tanzania na wa Afrika kumuokoa, sasa ni zamu ya Nando ambaye yuko
hatarini wiki hii.
Big Brother jana ametaja majina ya washiriki 7 ambao wako hatarini
kutoka wiki hii na kati
↧