Wabunge
wanne wa Chadema, Said Arfi (Mpanda Mjini), Tundu Lissu (Singida
Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce Mukya (Viti Maalumu)
wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika na mkusanyiko usio halali kwenye
Uwanja wa Soweto jana.
Mkuu
wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja alisema jana kwamba
pamoja na wabunge hao pia wamewakamata watu wapatao 60 kutokana na
vurugu zilizozuka
↧