Jeshi la Polisi limetishia kuwakamata Mwenyekiti wa Chadema,
Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na limesema
litamhoji Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye baada ya wanasiasa hao
kudai kufahamu watu waliohusika na tukio la kurushwa bomu mwishoni mwa
wiki iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha
jana, Mkuu wa Operesheni
↧