MWENYEKITI wa
Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi
iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013,
Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa
likiendelea.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Ukumbi
wa Hoteli ya Kitalii ya Nashera mjini hapa wakati mrembo huyo alipokuwa
akiwania kuvaa taji la mkoa huo
↧