<!-- adsense -->
Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za asili nchini Saida Karoli,
amezikanusha tetesi zilizoanza kuenea tangu jana kuwa amefariki kwenye
ajali ya boti katika ziwa Victoria.
Akiongea kwa simu leo asubuhi , Saida ambaye baada ya
kutumbuiza kwenye tuzo za Kili wiki iliyopita alielekea Makongorosi
Chunya mkoani Mbeya, amesema yupo hai na ni mzima wa afya.
“Mungu wangu,
↧