Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

SAUTI YA SAIDA KAROLI AKITHIBITISHA KUWA NI MZIMA NA HAJAFA KAMA WATU WANAVYODAI....

$
0
0
<!-- adsense --> Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za asili nchini Saida Karoli, amezikanusha tetesi zilizoanza kuenea tangu jana kuwa amefariki kwenye ajali ya boti katika ziwa Victoria. Akiongea kwa simu  leo asubuhi , Saida ambaye baada ya kutumbuiza kwenye tuzo za Kili wiki iliyopita alielekea Makongorosi Chunya mkoani Mbeya, amesema yupo hai na ni mzima wa afya. “Mungu wangu,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>