WAKATI Jeshi la Polisi Mkoani Arusha ikiendelea kumsaka Mwenyekiti wa
Chadema Freeman Mbowe na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless
Lema,Mbunge wa Ubungo John Mnyika kesho atawasha moto mwingine wa
maombolezo uliotawanywa kwa mabomu jana.
Mnyika atakuwa msatari wa mbele kuongoza wafuasi wa Chadema kuaga
miili ya watu watatu waliouawa katika shambulio la kigaidi Jumamosi
↧