Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo hii imemwachiria huru
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Idd Simba
pamoja na Mkurugenzi wa Bodi hiyo ambaye alikuwa Diwani wa Kata Sinza
(CCM), Salum Mwaking’inda vile vile Meneja Mkuu wa shirika hilo Victor
Milanzi na Mkurugenzi wa Kampuni ya Simon Group , Simon Kisena waliokuwa
wakikabiliwa na kesi ya uhujumu
↧