Hali kutoka mkoani si nzuri...mabomu ya machozi yanapigwa kuwatawanya wananchi waliojitokeza kuiaga miili ya wananchi waliofariki katika mlipuko wa bomu...
Hivi sasa polisi wanapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa CHADEMA
waliofurika katika uwanja wa Soweto Mjini Arusha ulipotokea mlipuko wa
bomu Jumamosi kuomboleza ambapo polisi inasema mkusanyiko huo si halali
Taarifa
↧