MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka
kuwa, suala la wasanii wa muziki kurogana linamuumiza kichwa kiasi cha
kufikiria kuachana na kazi hiyo.
Akiongea na mwandishi wetu pasipo kuwataja wabaya wake, Shilole alisema hivi sasa ‘kesi’
za wasanii kurogana zimeshika kasi kuliko siku za nyuma na anashindwa
kuelewa ni kwa nini watu wanamuasi Mungu kwa
↧