Mbunge
wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari ameshambuliwa na vijana wa Chama
cha Mapinduzi wakiongozwa na Kiongozi wa Chama cha Mapinduzi, Mkoa wa
Arusha aliyejulikana kwa jina la Kalanga na kulazimika
kulazwa katika hopitali ya Selian Mkoani Arusha katika fujo zilizotokea
katika kituo cha kupigia kura cha Zaburi, kata ya Makuyuni, Wilaya ya
Monduli mkoani Arusha.
Akizungumza
kutoka
↧