KATIBU Mkuu wa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdul-rahman Kinana amemfungulia kesi Mbunge
wa Iringa Mjini, Peter Msigwa (Chadema), kutokana na kumtuhumu
anajihusisha na ujangili na biashara haramu ya pembe za ndovu.
Kinana amefungua kesi hiyo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam
kutokana na kitendo cha Mbunge huyo kutoa tuhuma hizo dhidi yake kwa
nyakati tofauti nje na ndani ya Bunge,
↧