Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"TUMEFUKUZWA KAZI BAADA YA KUYAKAMATA MAGARI YA VIGOGO SERIKALINI AKIWEMO RAIS MSTAAFU SMZ".....HII NI KAULI YA POLISI

$
0
0
ASKARI 15 wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam waliofukuzwa kazi hivi karibuni kwa kosa la kupokea rushwa ili kupitisha mizigo bandarini kwa njia za magendo wameibuka na kutoa siri ya kufukuzwa kwao. Mmoja wa askari hao akizungumza kwa niaba ya wenzake, alisema sababu ya kufukuzwa kwao imetokana na wao kukamata magari ya vigogo serikalini, akiwemo aliyekuwa Rais

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>