Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani)
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii Langa amefariki dunia..
Habari zinadai kuwa , Msanii huyu alikumbwa na Malaria kali sana hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili jana.
ENDELEA KUWA NASI....
<!-- adsense -->