<!-- adsense -->
Ikiwa ni siku chache baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Albert Mangwea, tasinia ya Muziki wa kizazi kipya imepata pigo jingine kubwa kwa kuondokewa na msanii wa Hip Hop anaejulikana kwa jina la Langa Kileo.
Langa amefariki dunia akiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kulazwa jana akisumbuliwa na malaria kali
Zifuatazo ni post za mwisho za
↧