Aminiel
Aligaesha ambae ni Afisa Uhusiano wa hospitali ya Taifa Muhimbili
amethibitisha kwamba msanii Langa amefariki dunia June 13 2013 saa kumi
na moja jioni baada ya kufikishwa hospitalini hapo toka juzi jioni
ambapo kutokana na sababu za kimaadili kwenye tiba, Muhimbili hospitali
hawawezi kusema rapper huyu alikua anaumwa nini bali ndugu ndio wenye
mamlaka ya kufanya hivyo.Kwenye
↧