KUTOKANA na vifo vya mara kwa mara vya wasanii, staa wa filamu za
Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema ni wakati wa wasanii
kumrudia Mungu.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Dude alisema kwa kipindi
kifupi vimetokea vifo vingi vya wasanii tena wenye umri mdogo, hivyo
anawataka wasanii wabadili mfumo wao wa maisha kwa kuachana na mambo
maovu, anasa za dunia kwani
↧