Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

LWAKATARE AMEACHIWA KWA DHAMANA YA MILIONI 10

$
0
0
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Muganyizi Lwakatare ameachiwa kwa dhamana ya shilingi milioni 10 leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar.  Lwakatare anakabiliwa na kesi ya kujaribu kumwekea sumu Dennis Msaki. Waliomuwekea dhamana Lwakatare ni madiwani wawili wa Chadema kutoka kata ya Kimara na Sinza. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles