Akiongea na waandishi wa habari jana,
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Alfonso Lenhard amesema ziara ya
mwezi ujao ya Rais wa Taifa la Marekani, Barack Obama nchini Tanzania
haina ajenda ya siri: "kuna maswali mengi naulizwa kwa nini
Rais Obama amechagua kuzuru Tanzania? Ni kweli Rais wetu anakuja
malengo ya ziara yake yatajikita katika mambo ambayo ni malengo ya
Marekani kwa
↧