POLISI wa kike wa Kituo cha
Magomeni, jijini Dar es Salaam aliyejulikana kwa jina moja la Anisa,
ametimuliwa kazi kwa madai ya kupiga picha ya utupu iliyosambaa
mitandaoni.
Chanzo
makini ndani ya jeshi hilo kilisema Anisa alifukuzwa kazi wiki
iliyopita baada ya kuhojiwa na mabosi wake wa makao makuu ya jeshi hilo
na kukiri kuwa picha hiyo ni yake.
“Anisa
aliitwa makao makuu,
↧