Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MSHINDI WA REDD'S MISS NYAMAGANA 2013 AVULIWA TAJI HILO BAADA YA KUBAINIKA KUWA SIYO MTANZANIA NA ALIDANGANYA UMRI WAKE

$
0
0
Aliyekuwa mshindi katika shindano la kumtafuta mrembo wa wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza, Redd’s Miss Nyamagana 2013 Diana Amimo amevuliwa taji hilo baada ya kubainika kudanganya umri wake pamoja na urai, kasoro zilizompunguzia sifa za kuvaa taji hilo. Diana Amimo (katikati) Mratibu wa shindano hilo lililofanyika (May 11) jijini Mwanza, bwana Mukhsin Mambo wa Stoppers Entertainment,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>