Aliyekuwa mshindi katika shindano la kumtafuta mrembo wa wilaya ya
Nyamagana jijini Mwanza, Redd’s Miss Nyamagana 2013 Diana Amimo
amevuliwa taji hilo baada ya kubainika kudanganya umri wake pamoja na
urai, kasoro zilizompunguzia sifa za kuvaa taji hilo.
Diana Amimo (katikati)
Mratibu wa shindano hilo lililofanyika (May 11) jijini Mwanza, bwana
Mukhsin Mambo wa Stoppers Entertainment,
↧