Chama Cha
Mapinduzi (CCM), kimepinga muundo wa Muungano wa Serikali tatu
unaopendekezwa katika rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya
Mabadiliko ya Katiba mwanzoni mwa wiki iliyopita.
Chama hicho tawala kimesema bado kinaamini katika muundo wa Serikali mbili.
Katibu wa Itikadi
na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye aliwaambia waandishi wa habari mjini
Dodoma jana kwamba mapendekezo
↧