Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Mrembo wa Young Killer ageuza noti za elfu 10 shuka ya kulalia

Unaposaini mkataba wa kufanya show na Kili Music Tour, hakuna wasiwasi kuwa milioni nyingi zitaingia kwenye akaunti yako. Na hakuna kitu kizuri kufurahia pesa uliyoipata kama kumpa mwandani wako...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto aliyekuwa amefichwa ndani ya boksi kuzikwa leo katika makaburi ya Kola...

Mazishi  ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi tangu akiwa na umri wa miezi tisa, yanatarajiwa kufanyika leo katika makaburi ya Kola mkoani Morogoro.   Nasra alifariki dunia usiku wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mpya wa Malawi ana msimamo mkali kuhusu Ziwa Nyasa pengine kuliko hata...

Wingu jeusi limeanza kutanda kuhusu hatima ya mzozo wa Ziwa Nyasa kutokana na msimamo wa hivi karibuni wa kiongozi wa Democratic Progressive Party (DPP), Peter Mutharika ambaye sasa ni Rais mpya wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi FEKI watiwa mbaroni mkoani Iringa.......

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi akiwaonyesha maaskari  feki ambao walikuwa wakifanya utapeli katika mikoa ya Iringa na Morogoro. Kulia ni Brazil Nyakunga ambaye ni mwalimu akiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto mchanga aokotwa akiwa amekufa, akutwa na plasta puani na mdomoni...

Pamoja na jitihada kubwa inayofanywa na serikali katika kupambana na matukio ya ukatili kwa watoto, bado jamii inaonekana haijaipata elimu hiyo kutokana na kuendelea kuwepo kwa matukio hayo.   Leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa habari,Vijana, Utamaduni na Michezo awataja Nay wa Mitego,...

Ukiukwaji wa maadili ni sehemu ya kilio cha jamii ya watanzania na tayari kilio hicho kimeifikia serikali ambayo imechukua hatua za awali ya kuwaonya watu wanaofanya tabia hizo.   Naibu Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msiba: Joseph Olita aliyeigiza kama Idi Amin kwenye 'Rise and Fall of Idi...

Wakati Tanzania tukiendelea kuwa na majozi ya vifo  vya  watu  muhimu  hapa  nchini,wenzetu nao wamempoteza Joseph Olita aliyeigiza kama Idi Amini. Idi Amini wengi wanamfahamu kutokana na matukio mengi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Rihanna ahudhuria tuzo za fashion za CFDA akiwa Nusu Uchi.

Rihanna amewaacha midomo wazi watu wengi baada ya kuonekana amejitoa ufahamu na kuhudhuria tuzo za mitindo (CFDA 2014) zilizofanyika New York akiwa amevalia vazi linalomuacha  nusu mtupu.   Vazi hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond kufanya Collabo na wasanii wakubwa wa Marekani, Trey Songz na Big Sean

Diamond Platinumz anazidi kung’aa na kuvuka mipaka ya Tanzania na baada ya kufanya collabo kadhaa na wasanii wakubwa Afrika Magharibi, mkali huyo wa Ngololo amejisogeza kwa wasanii wakubwa wa Marekani....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Mpya kuhusiana na msiba wa msanii George Tyson

Mwili wa Marehemu George Tyson (pichani) umepelekwa nyumbani kwa marehemu Mbezi Beach (eneo la Makonde) jijini Dar es salaam leo Jumanne Juni 3, 2014  majira ya saa kumi jioni kwa ajili ya kuaga....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unaujua Umbea na Majungu yaliyopo Instagram na WhatsApp???....Mahakama ya...

Mwanzilishi na mmiliki wa Facebook, Mark Zuckerberg ameitwa na mahakama ya Iran kujibu tuhuma za uvunjifu wa haki za usiri/faragha na kuingilia mambo binafsi.   Maafisa wa Iran wameliambia shirika la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Audio: Msikilize Mume wa Florah Mbasha akimuomba msamaha shemeji yake ( Ester...

Sakata  la  Mume  wa  Florah  Mbasha  kumbaka  shemeji  yake    limechukua  sura  mpya  baada  ya  kuvuja  kwa  mawasiliano    ya  simu  kati  ya  Ester ( shemeji  yake )  na  Emmanuel  Mbasha (  Mume...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto aliyekuwa ndani ya boksi amezikwa kwa heshima zote.....Mazishi...

Hatimaye Mtoto Nasra Mvungi aliyefariki Juni mosi mwaka huu kufuatia kuishi katika matesa makubwa kutoka kwa mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki na kuishi katika boksi bila huduma muhimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumatano ya tarehe 4 June 2014

Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  tarehe  4  June  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nauli za Daladala jijini Dar kupanda hadi sh. 800, Wanafunzi nao...

Hatimaye picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baba mzazi wa mtoto aliyefichwa ndani ya boksi akwama kumzika...

  Safari ya mwisho ya mtoto Nasra Mvungi (4), iliyokuwa ya mateso hapa duniani, imefikia mwisho jana katika makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, bila kusindikizwa na baba yake mzazi, Rashid Mvungi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Maandalizi ya kuuaga mwili wa msanii George Tyson katika vianja vya...

Hapa ndipo jeneza lililobeba mwili wa Marehemu George Tyson litakapoka a kwa ajili ya kuagwa     <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa George Tyson waagwa leaders Club

Jeneza lenye mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' likiwa Viwanja vya Leaders tayari kwa shughuli za kuagwa.  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick (katikati) akiwa na Rais wa TAFF, Simon...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanzilishi wa Instagram ngangari, awashushia rungu wanaoweka picha za uchi

Mtandao wa kijamii wa Instagram umezidi kuwa maarufu kutokana na jinsi ambavyo unampa nafasi mtumiaji kuionesha dunia taswira yake binafsi au hata kuhusu hisia zake.   Hata hivyo watu mbalimbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jamhuri ya Afrika ya Kati yapiga marufuku kutumiana ujumbe wowote kwa simu za...

Wakati Tanzania kukiwa na kampeni ya kukomesha tabia za kusambaza ujumbe mbaya kwa simu ya mkononi au mtandaoni tuliyoipa jina la ‘Delete Futa Kabisa’, serikali ya Jamhuri ya Afrika Magharibi imeamua...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>