Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Unaujua Umbea na Majungu yaliyopo Instagram na WhatsApp???....Mahakama ya Iran imemuita mwanzilishi wa Facebook kujibu tuhuma hizo

$
0
0
Mwanzilishi na mmiliki wa Facebook, Mark Zuckerberg ameitwa na mahakama ya Iran kujibu tuhuma za uvunjifu wa haki za usiri/faragha na kuingilia mambo binafsi.   Maafisa wa Iran wameliambia shirika la habari la ISNA kuwa Zuckerberg anatakiwa kufika katika mahakama iliyopo jimbo la Fars ambapo kampuni yake ya Facebook na mitandao inayoimiliki kama WhatsApp na Instagram inatuhumiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>