Mwanzilishi na mmiliki wa Facebook, Mark Zuckerberg ameitwa na
mahakama ya Iran kujibu tuhuma za uvunjifu wa haki za usiri/faragha na
kuingilia mambo binafsi.
Maafisa wa Iran wameliambia shirika la habari la ISNA kuwa Zuckerberg
anatakiwa kufika katika mahakama iliyopo jimbo la Fars ambapo kampuni
yake ya Facebook na mitandao inayoimiliki kama WhatsApp na Instagram
inatuhumiwa
↧