Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diamond kufanya Collabo na wasanii wakubwa wa Marekani, Trey Songz na Big Sean

$
0
0
Diamond Platinumz anazidi kung’aa na kuvuka mipaka ya Tanzania na baada ya kufanya collabo kadhaa na wasanii wakubwa Afrika Magharibi, mkali huyo wa Ngololo amejisogeza kwa wasanii wakubwa wa Marekani.   Diamond ambaye yuko Marekani ameonekana akiwa na Kevin Liles ambaye aliwahi kuwa rais wa Def Jam Record na makamu wa rais wa Def Jam Music Group kuanzia mwaka 1999 hadi 2004.   Hivi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>