Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Mpya wa Malawi ana msimamo mkali kuhusu Ziwa Nyasa pengine kuliko hata Joyce Banda.....Anasema hakuna haja ya kujadiliana na Tanzania kuhusu ziwa hilo

$
0
0
Wingu jeusi limeanza kutanda kuhusu hatima ya mzozo wa Ziwa Nyasa kutokana na msimamo wa hivi karibuni wa kiongozi wa Democratic Progressive Party (DPP), Peter Mutharika ambaye sasa ni Rais mpya wa Malawi.    Hiyo inatokana na msimamo wa Mutharika ambaye ni Profesa wa Sheria wa kupinga kuendelea kujadiliana na Tanzania kuhusu nani mwenye haki ya kumiliki ziwa hilo alioutoa wakati

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>