Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto aliyekuwa amefichwa ndani ya boksi kuzikwa leo katika makaburi ya Kola mkoani Morogoro....Ibada na heshima za mwisho zitafanyika katika Uwanja wa Jamhuri

$
0
0
Mazishi  ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi tangu akiwa na umri wa miezi tisa, yanatarajiwa kufanyika leo katika makaburi ya Kola mkoani Morogoro.   Nasra alifariki dunia usiku wa kuamkia Juni mosi mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu kuanzia Mei 26 mwaka huu akitokea hospitali ya Morogoro.   Kwa mujibu wa Ofisa Ustawi wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>