Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Nauli za Daladala jijini Dar kupanda hadi sh. 800, Wanafunzi nao kuumia.....Eneo moja kwenda jingine ni dakika 30 tu

$
0
0
Hatimaye picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.    Kwa wanafunzi, nauli kwa ruti moja kwenda katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>