Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto mchanga aokotwa akiwa amekufa, akutwa na plasta puani na mdomoni kumzuia asipige kelele

$
0
0
Pamoja na jitihada kubwa inayofanywa na serikali katika kupambana na matukio ya ukatili kwa watoto, bado jamii inaonekana haijaipata elimu hiyo kutokana na kuendelea kuwepo kwa matukio hayo.   Leo mtoto mchanaga anayekadiliwa kuwa na umri wa siku moja amekutwa akiwa ametupwa eneo la Mbuyuni Kawe huku akiwa amefungwa plasta sehemu ya mdomoni na puani kumzuia kutopiga kelele pamoja na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles